Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz aitaka Iran kurudi kwenye mazungumzo baada ya mashambulizi dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu. Hezbollah yasema wapiganaji walipambana na wanajeshi wa Israel kusini mwa Lebanon. Na rais wa Kenya William Ruto anatarajiwa leo kulihutubia bunge la Tanzania mjini Dodoma.