1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.05.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S5 Mei 2017

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson hapo Jumatano ametangaza mipango yake ya kukabiliana na masuala yanayoisibu dunia ikiwa ni pamoja na mzozo na Korea Kaskazini// Kenya imekuwa na wakati mgumu kudhibiti matumizi ya mifuko ya plastiki huku serikali ikijaribu mara tatu bila mafanikio kudhibiti matumizi hayo.

https://p.dw.com/p/2cPdp