Serikali ya Tanzania imetoa onyo kali dhidi ya wale wanaotoa na kusambaza taarifa kuhusiana na magonjwa ya mlipuko ikiwamo janga la maambukizi ya virusi vya corona// Papa Francis ziarani Iraq// Akiwa ziarani mjini Kinshasa David Beasly amesema WFP itaendesha miradi ya kusambaza misaada kufuatia uhaba wa chakula.