1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.03.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Machi 2021

Serikali ya Tanzania imetoa onyo kali dhidi ya wale wanaotoa na kusambaza taarifa kuhusiana na magonjwa ya mlipuko ikiwamo janga la maambukizi ya virusi vya corona// Papa Francis ziarani Iraq// Akiwa ziarani mjini Kinshasa David Beasly amesema WFP itaendesha miradi ya kusambaza misaada kufuatia uhaba wa chakula.

https://p.dw.com/p/3qGLb