Licha ya kuwa Uganda ilirasmisha mfumo wa demokrasia ya siasa za vyama vingi katika katiba yake, idadi kubwa ya wagombea huru katika uchaguzi inadhihirisha kuwa bado kuna mapungufu katika kufanikisha mfumo huo/ Barua kutoka Dar/ Mazungumzo mapya ya amani kati ya serikali ya Afghanistan na kundi la Taliban yatarajiwa kuanza tena hii leo nchini Qatar