Rais Mteule Joe Biden amesema atawaomba Wamarekani kuvaa barakoa kwa hiyari kwa siku 100, lengo likiwa ni kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya corona// Kamishna wa Umoja wa Ulaya kuhusu usimamizi wa migogoro ameitolea mwito serikali ya Ethiopia kurudisha mawasiliano katika jimbo la Tigray// Bei ya chakula ulimwenguni imepanda katikati ya janga la COVID.