Tanzania: Chadema leo kinafikia hatua yake ya mwisho ya kupitisha jina la mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu/ Zimbabwe: Sekta ya matibabu ya umma inakabiliwa na tishio la kusambaratika/ Kenya: Shughuli ya kuzoa na kutupa taka imepata nguvu baada ya uongozi wa kaunti ya Nairobi na viunga vyake kupata mashine mpya ya kupima uzito wa malori