Kenya- Rais Uhuru Kenyatta hapo jana alikataa kuwateua majaji sita katika orodha ya majaji 41 iliyowasilishwa kwake na Tume ya Huduma za Mahakama JSC+++Bunge la Congo limeongeza muda wa dharura katika mikoa ya Kivu Kaskazini na Ituri+++Idadi ya wagonjwa wapya wa COVID-19 nchini Uganda imefikia watu 1,000+++Je, hofu ya chanjo ya Covid-19 ina msingi?