Leo nii imeingia siku ya tatu tangu mawaziri wa mambo ya kigeni wa kundi la G7 kuanza kukutana/ Kauli ya rais Kagame wa Rwanda kuwa Uganda bado ni tishio kwa nchi yake yameibua maoni mseto miongoni mwa Waganda/ Hali ya kisiasa nchini Lebanon/ Watoto wa kuradaranda barabarani na kuishi katika majaa na fuoni mwa bahari,maarufu Chokoraa, ni jamii ambayo wanakosa haki zote za kimisngi za binadamu