Rais wa Marekani, Donald Trump amesisitiza juu ya azma yake ya kuyaondoa majeshi ya Marekani nchini Syria// China imejibu mpango wa Marekani kuziongezea ushuru bidhaa zake// Leo ni miaka 50 tangu mauaji ya mwanaharakati wa haki za kiraia nchini Marekani Martin Luther King Jr.