Tanzania: Magufuli leo amewaapisha mawaziri wake wawili kutokana na mabadiliko madogo aliyoyafanya jana/ Tanzania: Leo mwili wa aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji na vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, hatimaye utapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kijijini kwao mkoani Kagera/ Polisi wapambana na waandamanaji nchini Algeria/ Kenya: Mvutano wa kisiasa ndani ya chama cha upinzani ODM