Guterres aonya kuhusu ongezeko la joto duniani/ Duru kutoka Uganda zinasema serikali ya nchi hiyo imeamuru kufungwa mara moja kwa akaunti za benki za karibu mashirika 4 ya kiraia yanayojihusisha na kusimamia utawala bora pamoja na uchaguzi/ Kenya: Maafisa wa usalama wapo kwenye mstari wa mbele kwenye mapambano na ugonjwa wa COVID 19.
Mzozo wa kisiasa unaoendelea kutokota Congo unaibua wasiwasi