Mkutano wa Afrika wa Tabianchi wafunguliwa DR Congo/ Mashambulizi mawili ya kutumia miripuko ya magari nchini Somalia/ Vijana Zanzibar watuhumiwa kujiunga na makundi ya kigaidi/ Kiongozi mkuu wa Iran avunja ukimya na ametoa tamko kuhusu maandamano na pia ameilaumu Marekani/ Hofu ya vita yarejea Yemen kwa kushindwa kurefusha mkataba