Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kimeanzisha rasmi mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba kikiwataka wanachama wake wenye nia hiyo kuanza kujitokeza/ Ujerumani kuruhusu kusafiri katika nchi 26 ndani ya Ulaya kuanzia Juni 15/ Suala la waandishi wa DW kutiwa nguvuni au kukabiliwa na maafisa wa polisi ni jambo ambalo limezoeleka katika mataifa tofauti ya Afrika.