Siku ya uhuru wa vyombo vya habari/ Tuzo ya uhuru wa kujieleza inayotolewa na shirika la habari la Ujerumani la Deutsche Welle ya mwaka huu ametunukiwa mnaijeria Tobore Ovuorie/ Kenya: Wanahabari wanakabiliwa na changamotoChad yataja serikali mpya ya mpito/ Msaada watiririka India, vifo vya corona vyaongezeka/ Congo: Tshisekedi ametangaza hali ya hatari katika majimbo ya Ituri na Kivu ya Kaskazini