Viongozi 28 wa Umoja wa ulaya wanaokutana leo hii kisiwani Malta, wanataka kuonyesha mshikamano wao mbele ya mizozo inayoutikisa Umoja wao// Afghanistan inadhibiti chini ya asilimia 60 ya nchi hiyo, baada ya mwaka jana vikosi vya usalama kurudi nyuma katika maeneo mengi waliyokuwa wakiyadhibiti// Ujerumani imeahidi msaada wa Euro Milioni 27 kufadhili mafunzo ya kiufundi kwa vijana nchini Kenya.