1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.11.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S2 Novemba 2017

Jaji wa juu nchini Uhispania amesema mahakama za nchi hiyo zinaweza kutoa waranti ya Ulaya ya kukamatwa kwa rais wa zamani wa jimbo la Catalonia Carles Puigdemont// Shirika la Ujasusi la Marekani, CIA, limechapisha nyaraka zilizopatikana katika operesheni ya kumkamata kiongozi wa kundi la kigaidi la al Qaeda Osama bin Laden mwaka 2011.

https://p.dw.com/p/2mvrI