1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.09.2018 Matangazo ya Jioni Saa 12:00 (Afrika Mashariki)

John Juma
2 Septemba 2018

Watu sita wakiwemo watoto wawili wameuawa kufuatia shambulizi la Bomu mjini Mogadishu.// Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, amesema hakuna uwezekano wa kutokea vita, lakini amevitaka vikosi vya kijeshi vya Iran kujiimarisha.// Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani awahimiza wajerumani kuupiga vita ubaguzi wa rangi

https://p.dw.com/p/34Bo5