Benki ya Dunia imeingiza Tanzania, Benin na Mauritania katika orodha ya mataifa ya Pato la Kati Chini na kufanya jumla ya mataifa 28 barani Afrika// Zaidi ya watu 40.000 waachwa bila makaazi Afrika Mashariki// Rais wa Urusi Vladimir Putin ameshinda katika kura ya maoni jana ambayo itamuwezesha kubakia madarakani hadi 2036 kwa mujibu wa mamlaka ya uchaguzi ya shirikisho la Urusi.