Isaac Herzog achaguliwa rais mpya wa Israel/Mataifa yaliyobakia katika mkataba wa nyuklia na Iran yanakutana leo mjini Vienna/Maseneta wa Urusi waidhinisha mswada wa kuwabinya wakosoaji/ Mali Yatolewa katika uawanachama wa Umoja wa Afrika/Serikali ya Ujerumani imeahidi kuendelea kutoa misaada kwa wakimbizi wa Burundi na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wanaohifadhiwa nchini Tanzania