Miongoni mwa yaliyomo ni pamoja na: Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Syria inapitisha sheria ambazo zinairuhusu kuzitaifisha mali binafsi.// Je Marekani inaipiga chenga Pakistan katika mkakati wake mpya kuhusiana na Taliban?//Vijana wa Tanzania wanajifunza lugha za kigeni kujihakikishia maendeleo yao.