Tanzania- Aliekuwa mfanyabiasha mashuhuri, tajiri na mmiliki wa makampuni ya IPP Reginald Mengi amefariki dunia// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameonya kuhusu hatari ya hali ya ugaidi inayoongezeka katika Ukanda wa Sahel Magharibi mwa Afrika// DR Congo- Mshauri wa zamani wa mpinzani Etienne Tshisekedi, baba wa rais wa sasa Felix Tshisekedi amependekeza kufanyike mazungumzo ya kitaifa.