1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.03.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S2 Machi 2017

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel leo amewasili mjini Cairo, katika ziara yake ya siku mbili nchini Misri na baadae Tunisia// Geneva-Urusi leo hii imeushutumu ujumbe unaowakilisha upinzani wa Syria kwenye mazungumzo ya amani yanayoendelea// Donald Trump ameingia tena katika msukosuko wa kisiasa baada ya kubainika Mwanasheria mkuu Jeff Sessions kudaiwa alifanya mazungumzo na balozi wa Urusi.

https://p.dw.com/p/2YYFM