Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria anatarajiwa kuishinikiza serikali ya Rais Assad iwapunguzie dhiki wakaazi wa Syria ili kufungua njia ya kuendelea na mazungumzo ya amani ya Geneva/ Hali nchini Uganda/ Shirika la WHO limeanzisha kitengo cha kimataifa cha kukabiliana na mripuko wa virusi vya Zika likielezea wasiwasi wake kuhusu ugonjwa huo kwamba unaweza ukaenea hadi barani Afrika na Asia