Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Uholanzi inajiweka tayari kuweka sheria ngumu za uhamiaji// Uchunguzi wa kura za maoni nchini Ugiriki unaonesha kuwa chama cha Syriza kitashinda uchaguzi wa mapema utakaofanyika Septemba 20, lakini chama hicho pia kitakabiliana na vizuizi kadhaa// Ripoti ya 'Afrika yasonga mbele'