Mataifa kadhaa ya Ulaya yametaka kupatiwa majibu kuhusu madai ya udukuzi wa Marekani.
Mjumbe Maalum kwa Yemen amesema anafadhaishwa na kutofikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano.
Raia wa jimbo la Somaliland wanasubiri matokeo ya uchaguzi wa Bunge na serikali za mitaa.