1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.05.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S1 Mei 2019

Merkel anaondoka Berlin leo kwa ziara ya siku tatu itakayomfikisha Burkina Faso, Mali na Niger/ Jumuiya ya wafanyabiashara Uganda imetishia kuhamasisha raia wa nchi hiyo kususia makampuni ya Afrika Kusini/ Burundi: Nkurunziza amewaahidi wafanyakazi, kuwa madai yao ya nyongeza ya mshahara yatashughulikiwa na tume maalumu na kwamba jawabu litapatika kabla ya mwaka huu kumalizika

https://p.dw.com/p/3Hl1X