Aina mpya ya corona yagunduliwa kwa msafiri toka Tanzania/ Kilio cha kesi za bandia kingalipo Tanzania/ CHADEMA wasusia uchaguzi wa Muhambwe/ Umoja wa Mataifa wapongeza kuachiwa huru wafungwa nchini Libya/ Save the Children: Watoto milioni 1.2 nchini Lebanon hawaendi shule kutokana na janga la Corona