SiasaYericko Nyerere azungumzia orodha ya watu hatariTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaMohammed Khelef27.02.201827 Februari 2018Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian Musiba, ametaja orodha ya watu hatari kumi katika usalama wa Tanzania. Katika orodha hiyo yumo Yericko Nyerere ambaye ni mwanaharakati na mwandishi wa vitabu. DW imezungumza naye kwenye Kinagaubaga.https://p.dw.com/p/2tO71Matangazo