1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watu kadhaa watiwa mbaroni visiwani Zanzibar

20 Aprili 2012

Harakati za kuupinga muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimeanza kuwatia tumbo joto wahusika visiwani Zanzibar katika wakati ambapo Tanzania iko katika mchakato wa kutafuta katiba mpya.

https://p.dw.com/p/14iBP
Wananchi wa Zanzibar sasa wapo katika harakati za kutafuta katiba mpya
Wananchi wa Zanzibar sasa wapo katika harakati za kutafuta katiba mpyaPicha: DW

Viongozi 12 wa harakati za kuupinga muungano huo wamekamatwa asubuhi ya leo na jeshi la polisi katika viwanja vya baraza la wawakilishi walikokuwa wamekwenda kwa lengo la kuwashindikiza wawakilishi waitishe kura hiyo ya maoni. Mwandishi wetu Wa Zanzibar Salma Said ameshuhudia tukio hilo na kuweza kuandaa ripoti ifuatayo.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Salma Said

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi