1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Washington. Marekani yakanusha kumuua kiongozi wa Al-Qaida.

5 Oktoba 2006
https://p.dw.com/p/CD5u

Jeshi la Marekani imekanusha ripoti kuwa imemuua kiongozi wa al Qaida nchini Iraq Abu Ayyub- al -Masri.

Msemaji wa jeshi la Marekani amesema kuwa hapo kabla walidhania ni mmoja kati ya watu waliouwawa katika shambulio, lakini hivi sasa wanaamini kuwa huenda haikutokea hivyo.