Twitter, Facebook, Instagram na WhatsApp zimekuwa nyenzo muhimu kwa raia kudai haki zao duniani kote. Wiki hii kipindi cha "Sema Uvume" kinaangazia mauaji ya watu weusi Marekani na mjadala unaofanyika kupitia #BlackLivesMatter. Huko Zimbabwe Mchungaji Evan Mawarire amepata umaarufu kwa kampeni za #ThisFlag na #ZimbabweShutdown.