Wanafunzi wafyatuliwa risasi Marekani
12 Desemba 2007Matangazo
LAS VEGAS:
Nchini Marekani,wanafunzi 6 wamepigwa risasi walipokuwa wakiteremka basi lao la shule katika mji wa Las Vegas.Kwa mujibu wa ripoti ya polisi, wanafunzi 2 wamo katika hali mbaya sana. Inaaminiwa kuwa si chini ya watu wawili walihusika katika mashambulizi hayo.