1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa ndani bado donda kwa Kenya

Iddi Ssessanga
29 Juni 2017

Serikali ya Kenya imekuwa katika mchakato wa kile inachosema ni kukamilisha shughuli ya kuwahamisha na kuwafidia wakimbizi wa ndani walioathiriwa na ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007. Wakio Mbogho analiangazia hilo katika Makala yetu Leo.

https://p.dw.com/p/2fcJ1