1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wabunge wanawake wa Tanzania wataka kujijengea imani

28 Mei 2007

Wabunge wanawake katika bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wamepewa changamoto kuwa kusimamia hoja zinazotetea maslahi ya wananchi ni muhimu kuliko kuangalia maslahi ya vyama vyao.

https://p.dw.com/p/CHDc

Akizungumza na wabunge hao wanaokutana mjini Bagamoyo, waziri mkuu staafu na mwanasiasa anayeheshimiwa nchini Tanzania, Jaji Joseph Warioba, alisema kutanguliza maslahi ya wananchi itawajengea umaarufu wabunge wanawake.

Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu Christopher Buke ambaye amehudhuria mkutano huo.