1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vurugu zatanda uchaguzi Zambia

21 Septemba 2011

Zoezi la kuhesabu kura nchini Zambia limekumbwa na vurugu na tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya kiongozi wa upinzani, Michael Sata wa PF, na Rais Rupiah Banda wa chama tawala cha MMD.

https://p.dw.com/p/12dNI
Rais Rupiah Banda wa Zambia
Rais Rupiah Banda wa ZambiaPicha: dapd

Maryam Dodo Abdalla amezungumza na mwandishi wa habari, Harrison Ntuntu, ambaye alikesha usiku mzima akizunguka katika vituo mbali mbali vya upigaji kura kushuhudia zoezi hilo la kuhesabu kura.

Mahojiano: Maryam Dodo Abdalla/Harrison Ntuntu
Mhariri: Othman Miraji