1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Visa vya utekaji nyara Tanzania

Mohamed Karama Dahman19 Aprili 2017

Wimbi la karibuni la utekaji nyara, vifo na watu kutoweka katika mazingira ya kutatanisha vimezusha hofu miongoni mwa Watanzania na kuzusha tuhuma kwamba kuna kikosi cha siri cha kikatili chenye kutenda hayo. Mwenendo huo umezidi kuiweka katika hali ya taharuki Tanzania baada ya kutekwa nyara mwanamuziki Ibrahim Musa kwa jina la usanii Roma Mkatoliki na wenzake watatu.

https://p.dw.com/p/2bTUo