Baraza la Maaskofu la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania - KKKT, limewaomba Watanzania kuupitia waraka wa ujumbe wa Pasaka uliotolewa na kanisa hilo, ukiwaonya wanasiasa dhidi ya kuwagawanya Watanzania.
https://p.dw.com/p/2v0Df
Matangazo
Kanisa limesema litazungumzia kitu chochote kinachotokea nchini humo na kwenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Sikiliza mahojiano na mchambuzi wa masuala ya siasa Tanzania Richard Shaba.