1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wajadili Amani na Usalama Rwanda

Sylvia Mwehozi
6 Aprili 2018

Katika mjadala wetu wa Vijana Tugutuke mwandishi wa DW mjini Kigali, Sylivanus Karemera anazungumza na vijana mbalimbali kuhusu Amani na usalama wa Rwanda na jinsi gani vijana hao wanachangia katika kuulinda amani na kudumisha usalama. Fuatilia mjadala huo.

https://p.dw.com/p/2vb9e