Katika kipindi karibuni utawasikia wageni tisa, vijana wana mazingira kutoka Tanzania katika kipindi hiki ambacho Bonn, kunafanyika mkutano mkubwa kabisa wa mazingira COP 23, pamoja na hadithi pia utasika je umeipata hiyo?. zaidi mnetege sikio Sudi Mnette kwa kusikiliza kipindi.