1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ushindi wa Brazil dhidi ya Korea Kaskazini washangiliwa Sao Paulo

Josephat Nyiro Charo16 Juni 2010

Brazil iliishinda Korea Kaskazini mabao 2:1 katika mchuano ambao ulikuwa mgumu kwao

https://p.dw.com/p/NsCY
Blumer Elano wa Brazil akishangilia bao la pili alilotia katika wavu wa Korea KaskaziniPicha: AP

Ushindi wa Brazil dhidi ya Korea Kaskazini umezusha shangwe na nderemo katika barabara za mji wa Sao Paulo. Mohammed Abdulrahman ameungumza na shabiki mmoja wa soka, Mapande Gasi, ambaye kwanza anaelezea shamrashamra zilivyokuwa na hali ilivyo leo baada ya ushindi huo wa Brazil dhidi ya Korea kaskazini wa mabao 2-1.

Mahojiano Mohamed/Gasi Mapande (Sao Paulo)

Mpitiaji:Josephat Charo