1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Mataifa kupigia kura azimio kusitisha mzozo wa Syria

Lilian Mtono
23 Februari 2018

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Ijumaa hii linapigia kura rasimu ya azimio linalohimiza mpango wa kusitisha mapigano kwa siku 30 nchini Syria ili kuruhusu misaada ya kiutu.

https://p.dw.com/p/2tDCs