1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ulemavu si tena kikwazo kwa mwanamke wa Tanzania

Ahamd Juma26 Aprili 2017

Ulemavu uliwahi kuwa kigezo kikubwa cha mtu kukosa haki zake za kijamii na hasa mwenye ulemavu anapokuwa ni mwanamke, hali ilikuwa mbaya zaidi, lakini sasa wanawake wenye ulemavu nchini Tanzania wanajaribu kuuvunja udhalilishaji huu kwa kujisaidia wenyewe na kuwasaidia wenzao. Ambatana na Ahmad Juma kujuwa namna wanawake hao wanavyojiinuwa kimaisha.

https://p.dw.com/p/2bvga