1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhaba wa pedi wafanya wasichana wengi wakose masomo Kenya

Caro Robi27 Januari 2016

Asilimia 61 ya wanafunzi wa kike nchini Kenya hukosa masomo mara kwa mara kwa sababu hawana sodo ama pedi kwa ajili ya kujisitiri wanapopata hedhi. DW inaangazia makundi yanayosaidia wasichana hao.

https://p.dw.com/p/1Hkc0
Pedi na tampon. Copyright: Imago
Picha: Imago

[No title]