1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda: Fred Batale mlemavu anawasaidia walemavu wenzake kujikwamua kiuchumi

18 Novemba 2015

Nchini Uganda watu wenye ulemavu wananyanyapaliwa. Lakini Fred Batale aliuchukua ubaguzi huo kama changamoto. Aliamua kuanzisha mradi wa sanaa kwa walemavu Uganda, akiwa na lengo la kuwawezesha watu wenye ulemavu kwa kuwapatia maarifa ya sanaa na ubunifu.

https://p.dw.com/p/1H7u6