1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba

Hawa Bihoga9 Mei 2017

Wanasema mwanamke aliyelala na wanaume wengi ndiye anayeshikwa na kifafa cha mimba (eclampsia) hivyo anatakiwa kuwataja wote aliowahi kulala nao na jina la baba wa mtoto likitajwa ndipo kifafa kinaisha. Ya kweli hayo? Hawa Bihoga anafafanua yote unayopaswa kujua katika makala ya Afya Yako.

https://p.dw.com/p/2cfZU