1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi waahirishwa Kongo

Josephat Charo7 Oktoba 2016

Tume huru ya uchaguzi ya nchi hiyo, CENI, imesema inatarajia uchaguzi kufanyika Desemba mwaka 2018. Je mustakabali wa uchaguzi huo ni upi?

https://p.dw.com/p/2R0bM

Uchaguzi ambao ulikuwa umepangwa kufanyika mwaka huu katika Jamhuri ya Kidemokrasai ya Kongo umeahirishwa. Tume huru ya uchaguzi ya nchi hiyo, CENI imesema inatarajia uchaguzi kufanyika Desemba mwaka 2018. Je raia wa Kongo wanasema nini kuhusu uamuzi huo? Je muda wa takriban miaka miwili ulioongezwa utatosha kukamilisha barabara maandalizi kwa ajili ya uchaguzi? Na je mustakabali wa uchaguzi ni upi?