1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Trump kuapishwa kuwa rais wa Marekani

Grace Kabogo
20 Januari 2017

Donald Trump anaapishwa leo kuwa rais wa 45 wa Marekani. Yahya Jammeh ameiomba ECOWAS imuongezee muda wa kuondoka madarakani. Na Rais wa Marekani anayemaliza muda wake, Barack Obama, amempigia simu Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel kumshukuru kwa uongozi wake imara. Papo kwa Papo 20.01.2017

https://p.dw.com/p/2W8tG