Tanzania- Zoezi la uandikishaji wapiga kura kisiwani Pemba
17 Agosti 2009Matangazo
Matatizo hayo yamepelekea kusimamishwa zoezi hilo katika maeneo hayo.
Othman Miraji alipiga simu huko Pemba kutaka kujua kilichojiri katika mkutano huo wa leo, na alimpata Bwana Khalifa Mohammed, mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CUF katika wilaya ya Wete.
Mwandishi: Othman Miraji
Mhariri: Aboubakary Liongo