1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Elimu ya mtoto wa kike iko katika hali gani?

Zainab Aziz17 Januari 2018

Shirika lisilo la kiserikali la Haki Elimu nchini Tanzania limetoa tathmini kuhusu juhudi zinazofanyika katika suala la elimu ya mtoto wa kike nchini humo. Zainab Aziz amezungumza na mkurugenzi wa shirika hilo bwana John Kallaghe. Yasikilize mahojiano hayo

https://p.dw.com/p/2r1ic