Madaktari Tanzania waonya mashambulizi ya hospitali
Hawa Bihoga29 Machi 2016
Chama cha madaktari Tanzania chaitaka serikali pamoja na Jeshi la polisi kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wananchi waliowashambulia hospitali za umma katika mikoa ya Mwanza, Mtwara pamoja na Katavi.